top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

WAMJW

Dkt. Benjamin L, MD

2 Aprili 2026, 16:07:15

Barakoa, miwani na COVID-19

Corona huenea pale majimaji kutoka kwenye njia ya hewa ya mtu mwenye maambukizi yanapoingia mwilini kupitia puani, mdomoni au machoni. Uvaaji wa barakoa husaidia kuzuia majimaji yanayotoka kwenye njia ya hewa yasisambae na kuwaathiri wengine pale mtu anapopiga chafya au kukohoa au kupenga makamasi. Vile vile hakikisha unanawa mikono kwa maji tiririka na sabuni au safisha mikono kwa kutumia kitakasa mikono (sanitizer), na pia epuka kugusa maeneo ya usoni kwa mikono ambayo haijasafishwa ili kupunguza uwezekano wa kuambukizwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa COVID-19.

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 16:07:15

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

bottom of page