Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:
WAMJW
ULY CLINIC
2 Aprili 2026, 16:07:08

Dalili mpya za kirusi cha COVID-19
Wigo wa dalili za COVID-19 umekuwa ukipanuka tangu tulivyopata wimbi la kwanza na mpaka sasa kwenye
wimbi ili la tatu.
Dalili za awali kabisa wakati wa wimbi la kwanza zilikuwa ni pamoja
Kikohozi kikavu
Koo kukereketa/kuwasha
Homa
Kubanwa na kifua/mbavu
Mwili kuchoka
Maumivu ya kichwa
Baadaye zikaongezeka dalili nyingine kama vile;
Kutohisi harufu
Kutohisi ladha
Macho mekundu
Vipele
Kukosa hamu ya kula
Kichefuchefu
Kutapika
Kuharisha
Imeandikwa:
2 Aprili 2026, 16:07:08
ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.
​
Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.
