top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

WAMJW

ULY CLINIC

2 Aprili 2026, 16:07:08

Dalili mpya za kirusi cha COVID-19

Wigo wa dalili za COVID-19 umekuwa ukipanuka tangu tulivyopata wimbi la kwanza na mpaka sasa kwenye

wimbi ili la tatu.


Dalili za awali kabisa wakati wa wimbi la kwanza zilikuwa ni pamoja


  • Kikohozi kikavu

  • Koo kukereketa/kuwasha

  • Homa

  • Kubanwa na kifua/mbavu

  • Mwili kuchoka

  • Maumivu ya kichwa


Baadaye zikaongezeka dalili nyingine kama vile;


  • Kutohisi harufu

  • Kutohisi ladha

  • Macho mekundu

  • Vipele

  • Kukosa hamu ya kula

  • Kichefuchefu

  • Kutapika

  • Kuharisha

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 16:07:08

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

bottom of page