top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

WAMJW

2 Aprili 2026, 16:07:17

Je, chanjo ya China inatumika Tanzania?

Kwa sasa chanjo inayotolewa Tanzania bara ni J&J (Janssen). Chanjo mojawapo inayotumika Zanzibar in Sinovac iliyotengenezwa China. Hata hivyo, chanjo yeyote iliyothibitishwa na Shirika la Afya Duniani kuhakikiwa na Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) zinaweza kutumika, ambazo ni Pfizer, Moderna, Janssen, Sinovac na Sinopharm. Orodha hii ya chanjo zilizopendekezwa inaweza kubadilika muda wowote ule kulingana na ushahidi wa kisayansi kadri unavyopitiwa na Kamati ya Kitaalamu

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 16:07:17

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

bottom of page