top of page
Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:
ULY CLINIC
2 Aprili 2026, 16:07:23

Je chanjo ya COVID 19 inaingilia vinasaba vya mtu aliye chanjwa DNA?
Hapana!
Licha ya chanjo jamii ya mRNA kuingia ndani ya chembe hai, huwa haiingii ndani ya Nuklia ambapo hukaa DNA na hivyo kukosa uwezo wa kuingilia uasili wa mtu. Mara baada ya chanjo kutoa maagizo ya utengenezaji wa kinga, mRNA humeng'enywa na chembe hai.
Imeandikwa:
2 Aprili 2026, 16:07:23
ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.
​
Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.
bottom of page
