Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:
ULY CLINIC
ULY CLINIC
6 Aprili 2026, 12:27:06
Kupungua uzito
Neno kupungua uzito humaanisha hali ya kupungua kwa kiwango cha mafuta yaliyohifadhiwa chini ya ngozi.
Mara chache huweza kuchangiwa na kupungua kwa kiwango cha nyama, maji na madini mbalimbali mwilini. Kupungua uzito kunaweza kuwa kwa kukusudia kama vile kwa kufanya mazoezi, kujinyima kula au bila kukusudia, na hii huweza kuwa dhihirisho la ugonjwa Fulani unaoendelea ndani ya mwili.
Dalili zinazoweza kuambatana na kupungua uzito ni pamoja na kupoteza hamu ya kula uchovu au udhaifu wa mwili.
Kupunguza uzito ni kawaida baada ya ujauzito au kujifungua
Maambukizi ya virusi kama vile VVU
Matumizi ya baadhi ya dawa
Kuwa na saratani
Ugonjwa wa kisukari
Kufanya mazoezi ya mara kwa mara
Upungufu wa vyakula vya mafuta, wanga na protini
ULY CLINIC inakushauri siku zote uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote ile ya kiafya baada ya kusoma makala hii.
Wasiliana na daktari wa ulyclinic kwa ushauri zaidi na tiba kwa kutumia namba za simu au kubonyeza link ya Pata Tiba chini ya tovuti hii
Imeandikwa:
2 Aprili 2026, 15:59:23
Soma dalili zingine Zaidi kwa kubonyeza herufi ya mwanzo hapa chini
​
[A] [B] [C] [D] [E] [F] [G] [H] [I] [J] [K] [L] [M] [N] [O] [P] [Q] [R] [S] [T] [U] [V] [W] [X] [Y] [Z] [Z] [#]
Rejea za mada
