top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Dkt. Peter R, CO

Dkt. Benjamin L, MD

Jumatatu, 21 Machi 2022

Kiazi sukari
Kiazi sukari

Kiazi sukari hufahamika kama biti ni zao la aridhini litokanalo na mizizi kutoka kundi la beta vulgaris. Zao hutumika kama kama chakula baada ya kuandaliwa vizuri ambapo pia huweza kutumika kama sharubati.


Viinilishe vinavyopatikana kwenye Kiazi Sukari


  • Mafuta

  • Madini

  • Sukari

  • Nyuzilishe

  • Protini

  • Vitamini

  • Maji


Viinilishe vinavyopatikana kwenye Kiazi sukari chenye gramu 100


  • Nishati = 43kcal

  • Mafuta = 0.2g

  • Maji = 87.58g

  • Kabohaidreti = 9.6g

  • Sukari = 6.8g

  • Nyuzilishe = 2.8g

  • Protini = 1.6g


Vitamini zinazopatikana kwenye Kiazi Sukari chenye gramu 100


  • Vitamini A = 2mcg

  • Vitamini B1 = 0.031mg

  • Vitamini B2 = 0.040mg

  • Vitamini B3 = 1.334mg

  • Viatmini B5 = 0.155mg

  • Vitamini B6 = 0.067mg

  • Vitamini B9 = 109mcg

  • Vitamini C = 4.9mg

  • Vitamini E = 0.04mg

  • Vitamini K = 0.2mg


Madini yanayopatikana kwenye Kiazi Sukari chenye gramu 100


  • Kalishiamu = 16mg

  • Kopa = 0.07mg

  • Madini Chuma = 0.08mg

  • Magineziamu = 23mg

  • Manganaizi = 0.329mg

  • Fosifolasi = 40mg

  • Potashiamu = 325mg

  • Sodiamu = 78mg

  • Zinki = 0.35mg


Faida za kiafya zitokanazo na ulaji wa Kiazi Sukari


  • Hurekebisha shinikizo la damu

  • Husaidia mjongea wa viungo (wanamichezo wanashauriwa kula kiazisukari masaa 2 mpaka 3 kabla ya michezo kwa matokeo bora)

  • Huongeza kinga ya mwili

  • Huimarisha mfumo wa mmeng`enyo wa chakula

  • Huimarisha afya ya Ubongo pamoja na moyo

  • Husaidia kkupunguza kasi ya uginjwa wa kusahasahau

  • Hupunguza kasi ya kupatwa/kushambuliwa na kansa za aina mbalimbali

  • Husaidia kupunguza uzito usiotakiwa mwilini

Imeboreshwa,
21 Machi 2022 19:39:02
Bofya hapa kusoma zaidi kuhusu namna ya kuandaa vyakula mbalimbali vinavyoweza kukukinga dhidi ya magonjwa ya shinikizo la damu la juu na Kisukari, pia kuupa mwili wako uwezo wa kudhibiti magonjwa ya kisukari na shinikizo la juu la damu(presha).

 

ULY CLINIC inakushauri siku zote uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba zaidi kabla ya kuchukua hatua yoyote ile ya kiafya baada ya kusoma makala hii.
 

Wasiliana na daktari wa ulyclinic kwa ushauri zaidi na tiba kwa kutumia namba za simu au kubonyeza link ya Pata Tiba chini ya tovuti hii

Rejea za mada hii

  1. Beets . https://www.nutritionvalue.org/Beets%2C_drained%2C_boiled%2C_cooked_nutritional_value.html?size=100+g. Imechukuliwa tarehe 4 February 2022.

  2. Clifford T, Howatson G, West DJ, Stevenson EJ. The potential benefits of red beetroot supplementation in health and disease. Nutrients. 2015 Apr 14;7(4):2801-22. doi: 10.3390/nu7042801. PMID: 25875121; PMCID: PMC4425174. https://pubmed.ncbi.nlm.nih.gov/25875121/. Imechukuliwa tarehe 4 2022.

  3. Chen L, Zhu Y, Hu Z, Wu S, Jin C. Beetroot as a functional food with huge health benefits: Antioxidant, antitumor, physical function, and chronic metabolomics activity. Food Sci Nutr. 2021 Sep 9;9(11):6406-6420. doi: 10.1002/fsn3.2577. PMID: 34760270; PMCID: PMC8565237. https://pubmed.ncbi.nlm.nih.gov/34760270/. Imechukuliwa tarehe 4 February 2022.

  4. Beetroot as a functional food with huge health benefits: Antioxidant, antitumor, physical function, and chronic metabolomics activity. Written by Liping Chen, Yuankang Zhu, Chengtao Jin et al. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC8565237/. Imechukuliwa tarehe 4 February 2022.

bottom of page