top of page

Magonjwa

Public·783 members

Upele

Upele ni jeraha lenye mzingo lililoinuka juu ya usawa wa sakafu ya ngozi, kwa kawaida huwa na kipenyo cha chini ya sentimita 1. Jeraha hili linaweza kutokana na mabadiliko ya epidemo au demo. Upele hufahamika pia kwa jina jingine la papule.

4 Views

Kuhusu kundi

Sehemu ambayo imeandikwa magonjwa mbalimbali yanayowapata bi...

bottom of page