top of page

Majadiliano na Wataalamu

Public·804 members

Mkojo wenye utelezi mwishoni| ULY CLINIC

Mtu anapokojoa mkojo wa mwisho ukawa na maji meupe yenye utelezi tatizo ni nini?

30 Views

Tatizo hili hufahamika pia kama Kuvuja kwa shahawa. Sababu mbalimbali zinaweza kuchangia mfano uharibifu kwenye mfumo wa neva, maambukizi kwenye tezi dume(prostate) ndoto mbivu, maambukizi ya magonjwa ya zinaa, saratani ya tezi dume.


Ili kujua zaidi kuhusu tatizo lako ni vema ukawasiliana na daktari wako kwa uchunguzi zaidi na ushauri.


Wasiliana na daktari wa ULY Clinic popote ulipo kwa ushauri na tiba kwa kutumia namba za simu chini ya tovuti hii.

Kuhusu kundi

Uliza swali pamoja na kusoma majibu ya maswali yaliyoulizwa,...

bottom of page