top of page

Majadiliano na Wataalamu

Public·804 members

Kutokwa na damu puani husababishwa na nini na nini tiba?

Samahani doctor mimi na matatizo ya kutokwa na damu puani kwa siku hata mara tatu na huwa zikianza kutoka, zinatoka nyingi sanaa na muda mrefu sanaa je tatizo hili linatibika na kuisha kabisa?

13 Views

Kuhusu kundi

Uliza swali pamoja na kusoma majibu ya maswali yaliyoulizwa,...

bottom of page