Mmi sijawahi kupima Ila huwa natokwa sana na mapele makubwa magumu ambayo wakati mwingine hayaumi baadae yanaiva Kama jibu yanatoa usaha kinaweza kutoka kimoja tu afu kikapotea nakaa kwa mda mrefu afu kinajitokeza Tena na nimeanza kuona hizi dalili kabla hata sijavunja ungo na kabla hata ya kuanza kujamiiana msaada pls
Kuhusu kundi
Uliza swali pamoja na kusoma majibu ya maswali yaliyoulizwa,...
Mmi sijawahi kupima Ila huwa natokwa sana na mapele makubwa magumu ambayo wakati mwingine hayaumi baadae yanaiva Kama jibu yanatoa usaha kinaweza kutoka kimoja tu afu kikapotea nakaa kwa mda mrefu afu kinajitokeza Tena na nimeanza kuona hizi dalili kabla hata sijavunja ungo na kabla hata ya kuanza kujamiiana msaada pls