top of page

Majadiliano na Wataalamu

Public·804 members

Kwa nini piriodi imesimama?

  • Kutoona period

  • Kutoona damu ya mwezi

  • Kuacha kuona period

  • Kutoingia period

  • Kusimama kwa period


Utangulizi

Kuingia piriod au kipindi cha hedhi hufahamika kama menorhagia. Kutoona daku ya mwezi au period au amenorrhea au majina mengije yaliyoorodheshwa hapo juu humaanisha kutoona damu ha hedhi inayotoka kwa wanawake waliovunja ungo kila mwezi.


Aina ya kutoona hedhi kwenye makala

Makala hii imezungumzia sababu ya kutoona hedhi kwa mwanamke ambaye alikuwa anaona hedhi hapo awalia.


Visababishi vya kutoona hedhi.

Visababishi vimegawanyika katika makundi mbalimbali, baadhi ya visababishi katika kundi la visababishi asili ni:

  • Kuwa mjamzito

  • Kunyonyesha

  • Komahedhi


Visababishi vingine

Visababishi vingine ni mabadiliko ya homoni, matumizimya dawa, madhaifu ya maumbile na maisha.


Maelezo zaidi

Kusoma zaidi kuhusu makala hii soma katika makala ya amenorrhoea inayopatikana kwenye tovuti ya ulyclinic.


Kama una swali zaidi wasiliana na daktari wako kwa ushauri na tiba. Pia unaweza kuwasiliana na daktari wa ulyclinic kupitia linki ya "Pata Tiba" chini ya tovuti hii.

18 Views

Kuhusu kundi

Uliza swali pamoja na kusoma majibu ya maswali yaliyoulizwa,...

bottom of page