top of page

UTI

Mwandishi:

ULY CLINIC

31 Mei 2022 12:53:02

UTI

UTI hutumiwa na watu wengi kumaanisha U.T.I ambacho ni kifupi cha neno Urinary Tract Infection,kwa kiswahili hufahamika kama maambukizi kwenye njia ya mkojo na kitiba humaanisha maambukizi kwenye mfumo wa mkojo.


Hivyo UTI, U.T.I au uti, u.t.i ni maambukizi ya vimelea katika mfumo wa mkojo yanayopelekea kuonekana kwa dalili mbalimbali kama vile maumivu wakati wa kukojoa, hisia za kuungua wakati wa kukojoa na kukojoa mara kwa mara. Mara nyingi UTI husababishwa na bakteria, marachache vimelea wengine kama virusi na fangasi wanaweza kusababisha ugonjwa huu.

Imeboreshwa,

20 Julai 2023 07:50:17

bottom of page