top of page
Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:

Dr.Sospeter Mangwella, MD

ULY CLINIC

4 Agosti 2025, 12:34:14

Damu au kinyama mimba ya mwezi mmoja ikiharibika (1).jpg

Mimi Nina tatizo la kukojoa Mara kwa Mara iwe mchana hataa usiku na miaka 25 saivi ni miaka 4 na pia nilisha pima kisukari na UTI sina tatizo

Majibu


Kukojoa mara kwa mara ni hali ya kuhisi haja ya kwenda kukojoa zaidi ya kawaida yako, unaweza kuwa unakojoa kiwango kikubwa cha mkojo kuliko kawaida ama kiasi kidogo kidogo sana. Kukojoa mara kwa mara kunaweza kutokea wakati wa mchana au usiku tu au wakai wote yaani  usiku na mchana. Kukojoa mara kwa mara huweza kuasili hali ya usingizi, kazi ama utu wako.

Visababishi ni nini?

 Kukojoa mara kwa mara huweza kusababishwa na magonjwa yanayoathiri mfumo wa mkojo kwenye sehemu yoyote ile. Mfumo wa mkojo huhusisha figo, mirija ya mkojo, kutoka kwwenye figo mpaka kwenye kibofu, kibofu cha mkojo, na mrija unaotoa mkojo nje ya mwili(urethra)


soma zaidi makala hii kwa kubonyeza hapa

ULY CLINIC inakushauri uwasiliane na daktari wako kwa ushauri na tiba kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma majibu haya.

Kupata ushauri zaidi au tiba kutoka kwa daktari wa ULY CLINIC bofya hapa au tumia linki ya Pata tiba

bottom of page