
Maoni ya watumiaji
Nchi na mkoa ulipo
tanzania daresalamu
Tovuti hii imekuwa msaada kwako?
mimi nasumburiwa na maradhi ya gono na nishaonana na daktari akanipatia dawa rakini bado kibovu nikikojoa cha moto na usaa unazidi kutoka
23 Julai 2026, 00:41:26
Nchi na mkoa ulipo
Tanzania tabora
Tovuti hii imekuwa msaada kwako?
Ndio
25 Septemba 2025, 08:49:31
Nchi na mkoa ulipo
Tanzania geita
Tovuti hii imekuwa msaada kwako?
Ndiyo imekuwa msaada kwangu kwasababu nilipatwa na ugonjwa wa fangasi sehemu za sili nilitumiwa dawa pia na usahaur
23 Machi 2026, 22:11:31
Nchi na mkoa ulipo
Tanzania,Mbeya
Tovuti hii imekuwa msaada kwako?
Ndio Uly Clinic imekuwa msaada sana kwangu kwasababu nimejifunza ata vitu ambavyo ni tofauti na elimu ya darasani na mtaani
24 Septemba 2025, 16:29:18
Nchi na mkoa ulipo
Dar es salaam
Tovuti hii imekuwa msaada kwako?
Ndio...imekuwa msaada wa kujua Hali yangu kama Nina tatizo au ni kawaida....
5 Januari 2026, 09:45:37
Nchi na mkoa ulipo
Zanzibar
Tovuti hii imekuwa msaada kwako?
Ndio
