top of page

Mwandishi:

Dkt. Mangwella S, MD

21 Septemba 2024, 11:47:06

Kirusini

Kirusini

Ni neno la kitiba linalomaanisha kimelea jamii ya kirusi kinachosababisha homa ya kirusini, virusi hivyo ni kirusini A, B, C, D na kirusini E

Imeboreshwa,

5 Oktoba 2024, 15:38:46

bottom of page