top of page

Mwandishi:

Imeboreshwa:

Dkt. Mangwella S, MD

5 Oktoba 2024, 18:38:46

Kirusini

Kirusini

Ni neno la kitiba linalomaanisha kimelea jamii ya kirusi kinachosababisha homa ya kirusini, virusi hivyo ni kirusini A, B, C, D na kirusini E

Imeandikwa:

21 Septemba 2024, 14:47:06

bottom of page