top of page

Bei ya Dawa

Bei ya Metronidazole

Bei ya Metronidazole

Metronidazole ni dawa ya kutibu maambukizi ya bakteria na protozoa kama trichomoniasis na amoebiasis. Bei yake inatofautiana: kidonge cha 400mg huuzwa TZS 200–800, syrup huanzia TZS 700 hadi 2,500, na infusion hadi TZS 3,500.

Bei ya Amoxicillin

Bei ya Amoxicillin

Amoxicillin ni antibiotic inayotumika kutibu maambukizi ya bakteria kama UTI, tonsillitis na pneumonia. Bei yake inatofautiana kulingana na fomu: kidonge cha 500mg huuzwa kati ya TZS 100–800, syrup ya watoto huanzia TZS 500 hadi 2,000, na sindano hupatikana kuanzia TZS 600 hadi 2,000 kulingana na mahali unaponunua.

bottom of page