top of page

Ushauri na Dawa mara moja kwa wasio VIP

Huduma hizi hukupa ushauri wa kitabibu na kuandikiwa dawa mtandaoni mara moja kwa kila tatizo, kwa kufuata viwango vya kitaaluma na kuheshimu usiri wa taarifa zako.

1️⃣ HUDUMA KWA WASIO VIP – Tsh 10,000/=

 

Madaktari Wanaopatikana

Unaweza kupata huduma kutoka kwa madaktari wa:

  • Ngozi

  • Mifupa

  • Mionzi

  • Watoto

  • Magonjwa ya wanawake

  • Magonjwa ya wazee

  • Magonjwa ya akili

  • Meno

  • Masikio, pua na koo

  • Upasuaji

  • Magonjwa ya kawaida

  • Lishe

  • Macho

Huduma Unazopata Mara Moja kwa Tatizo:

  • Ushauri wa moja kwa moja kutoka kwa daktari

  • Maelezo ya tatizo lako kulingana na historia na dalili

  • Kupendekezewa vipimo vinavyohitajika

  • Kuandikiwa cheti cha dawa (prescription)

  • Maelekezo sahihi ya matumizi ya dawa

  • Ufafanuzi wa majibu ya vipimo (maabara/mionzi)

  • Ushauri wa dawa sahihi kwa tatizo lako

  • Vidokezo muhimu vya kiafya kulingana na hali yako

 

Mambo yasiyojumuishwa kwa Huduma hii:

  • Kupewa dawa

  • Kufanyiwa vipimo

  • Kufanyiwa upasuaji

  • Kupigiwa simu

  • Kutembelewa na daktari/mhudumu

Malipo

Lipa Tsh 10,000 kupitia:
📞 +255 752 954 281

 

Baada ya malipo:
➡️ Jaza fomu iliyo chini ya ukurasa → Tuma → Kisha wasiliana na whatsapp namba  +255 621 122 578  kwa matibabu.

Muda wa Huduma (Sio VIP)

🕒 Saa 9:30 mchana – 5:00 usiku (15:00–23:00)
📅 Kila siku isipokuwa Jumapili (mapumziko)

Iwapo Huna uwezo wa kulipa

Wasiliana nasi kupitia namba zetu. Utaulizwa maswali ya uthibitisho na ukithibitika kuwa unahitaji msaada, utapewa utaratibu maalumu wa huduma. Pia unaweza kusoma kupitia kurasa ya utaratibu wa huduma zetu kwa maelezo zaidi ya namna ya kupta huduma hii

2️⃣ HUDUMA ZA VIP – Tsh 30,000/=

Huduma za VIP hukupa upendeleo wa muda, majibu ya haraka, na ufikishwaji wa huduma muda mpana zaidi.

 

Madaktari Wanaopatikana

(Orodha ni ile ile kama ya wasio VIP)

 

Huduma Unazopata Mara Moja kwa Tatizo:

  • Ushauri wa moja kwa moja na daktari

  • Utambuzi kulingana na dalili na historia

  • Ushauri wa vipimo vinavyohitajika

  • Kuandikiwa cheti cha dawa (prescription)

  • Ufafanuzi wa vipimo (maabara/mionzi)

  • Maelekezo ya matumizi ya dawa

  • Vidokezo vya kiafya kulingana na hali yako

Huduma zisizojumuishwa kwenye kifurushi hiki:

  • Kupewa dawa

  • Kufanyiwa vipimo

  • Kufanyiwa upasuaji

  • Kupigiwa simu

  • Kutembelewa na mhudumu

Malipo

Lipa Tsh 30,000 kupitia:
📞 +255 752 954 281

 

Baada ya malipo:➡️ Jaza fomu iliyo chini ya ukurasa → Tuma → Kisha wasiliana na whatsapp namba  +255 621 122 578  kwa matibabu.

 

Muda wa Huduma za VIP

  • Jumatatu – Ijumaa: 2:00 asubuhi – 5:00 usiku (08:00–23:00)

  • Jumamosi: 3:00 asubuhi – 5:00 usiku (09:00–23:00)

  • Jumapili: Mapumziko

Usiri na Ubora wa Huduma

ULY Clinic inafuata miiko, maadili, na viwango vya kitabibu.
🔒 Taarifa zako zote ni siri kati yako na daktari. Kwa kujaza fomu hii unathibitisha kukubaliana na Vigezo na Masharti ya huduma.

Jina lako kamili

Mkoa ulipo

Namba ya simu uliyofanyia malipo

Nambari ya muamala wa malipo

bottom of page