top of page

Ushauri na Dawa mara moja kwa wasio VIP

​

Ili kupata ushauri na kuandikiwa dawa mtandaoni kutoka kwa daktari wa ULY Clinic mara moja tu  kila unapotafuta huduma, utapaswa kulipia kiasi cha shilingi elfu 1 tu (1,000/=)

​

​

Madaktari wa ULY CLINIC

​

Unaweza kupata huduma kutoka kwa daktari wa;

  • Ngozi

  • Mifupa

  • Mionzi

  • Watoto

  • Magonjwa ya wanawake

  • Magonjwa ya wazee

  • magonjwa ya akili, 

  • Magonjwa ya meno

  • Masikio pua na kinywa

  • Upasuaji 

  • Magonjwa ya kawaida

  • Lishe

  • Macho

​

Utapata kati ya huduma zifuatazo mara moja tu kwa tatizo lako

​

  • Kushauriwa pale unapoumwa na kujibiwa maswali moja kwa moja

  • Kushauriwa unaumwa nini kulingana historia na dalili ulizonazo

  • Kuambiwa vipimo vya kufanya 

  • Kuandikiwa cheti cha dawa (prescription) ili upate urahisi unapokwenda kununua dawa hizo famasi

  • Kupewa vidokezo maalumu vya kiafya kulingana na afya yako

  • Kutafsiriwa vipimo mbalimbali ulivyofanya kwa mfano vipimo vya maabara na mionzi

  • Kutafsiriwa na kuelekezwa matumizi ya dawa na vitu mbalimbali utakavyovihitaji

  • Kushauriwa kuhusu dawa nzuri ya kutumia kulingana na tatizo lako
    na vingine vingi vinavyohusiana na Afya

 

Vitu vifuatavyo hutafanyiwa kwa mchango uliochangia kwa mwaka

​

  • Kupewa dawa

  • Kufanyiwa vipimo

  • Kufanyiwa upasuaji

  • Kupigiwa simu

  • Kutembelewa na daktari au muhudumu wetu

​

Namba za malipo

​

Lipia kiasi hicho kwenye namba zifuatazo +255 621 122 578 au +255 752 954 281

​

Baada ya kulipia jaza fomu chini ya kurasa hii kisha tuma, ukishatuma utakuwa tayari kupigia simu. Endapo hujafanya hivyo simu yako haitapokelewa. Endapo una maswali binafasi na unahitaji majibu unaweza kutuma kupitia mawasiliano yetu chini ya tovuti hii na utajibiwa kwa muda ule ambao umeandikwa kwenye maelezo.

​

Muda wa huduma zisizo VIP

​

Muda wa huduma hizi ni kuanzia sa tisa na nusu mchana (1500HRS) mpaka sa tano kamili usiku (2300HRS) kila siku isipokuwa siku ya jumapili ambapo ni mapumziko.

​

​

Huna uwezo wa kutoa kiasi hiki cha fedha?

​

ULY CLINIC Inatambua kuwa baadhi ya watu hawana uwezo wa kifedha licha ya kuhitaji tiba. Endapo huna uwezo wa kifedha utawasiliana nasi kwa namba za simu ili upewe utaratibu wa huduma. Utaulizwa baadhi ya maswali kuhakiki kuwa wewe ni mgonjwa na unahitaji huduma ya kuwasiliana na daktari kwa mpang maalumu. Baada ya kuonekana unahitaji huduma maalumu.

​

​

Ubora na usiri wa huduma

​

ULY Clinic inazingatia miiko ya taaluma na ubora wa huduma inazotoa kwa wateja wote. Ifahamike kuwa taarifa zako ni siri, kati yako na daktari atakayekupa huduma na hazitatolewa kwa mtu yeyote bila idhini yako.

​

Kwa kujaza fomu hii unakubaliana na vigezo na mashariti yaliyo kwenye fomu hii na yale yaliyoandikwa kwa kubofya neno  "Vigezo na Mashariti"

​

​

​

Ushauri na Dawa mara moja kwa VIP

​

Ili kupata ushauri na kuandikiwa dawa mtandaoni kutoka kwa daktari wa ULY Clinic mara moja tu  kila unapotafuta huduma, utapaswa kulipia kiasi cha shilingi elfu 5 tu (5,000/=)

​

​

Madaktari wa ULY CLINIC

​

Unaweza kupata huduma kutoka kwa daktari wa;

​

  • Ngozi

  • Mifupa

  • Mionzi

  • Watoto

  • Magonjwa ya wanawake

  • Magonjwa ya wazee

  • magonjwa ya akili, 

  • Magonjwa ya meno

  • Masikio pua na kinywa

  • Upasuaji 

  • Magonjwa ya kawaida

  • Lishe

  • Macho

​

Utapata kati ya huduma zifuatazo mara moja tu kwa tatizo lako

​

  • Kushauriwa pale unapoumwa na kujibiwa maswali moja kwa moja

  • Kushauriwa unaumwa nini kulingana historia na dalili ulizonazo

  • Kuambiwa vipimo vya kufanya 

  • Kuandikiwa cheti cha dawa (prescription) ili upate urahisi unapokwenda kununua dawa hizo famasi

  • Kupewa vidokezo maalumu vya kiafya kulingana na afya yako

  • Kutafsiriwa vipimo mbalimbali ulivyofanya kwa mfano vipimo vya maabara na mionzi

  • Kutafsiriwa na kuelekezwa matumizi ya dawa na vitu mbalimbali utakavyovihitaji

  • Kushauriwa kuhusu dawa nzuri ya kutumia kulingana na tatizo lako
    na vingine vingi vinavyohusiana na Afya

 

Vitu vifuatavyo hautafanyiwa

​

  • Kupewa dawa

  • Kufanyiwa vipimo

  • Kufanyiwa upasuaji

  • Kupigiwa simu

  • Kutembelewa na daktari au muhudumu wetu

​

Namba za malipo

​

Lipia kiasi hicho kwenye namba zifuatazo +255 621 122 578 au +255 752 954 281

​

Baada ya kulipia jaza fomu chini ya kurasa hii kisha tuma, ukishatuma utakuwa tayari kupigia simu. Endapo hujafanya hivyo simu yako haitapokelewa. Endapo una maswali binafasi na unahitaji majibu unaweza kutuma kupitia mawasiliano yetu chini ya tovuti hii na utajibiwa kwa muda ule ambao umeandikwa kwenye maelezo.

​

Muda wa huduma za VIP

​

Muda wa huduma hiii ya VIP ni kuanzia sa mbili asubuhi (0800HRS) mpaka sa tano kamili usiku (2300HRS) kwa siku za wiki, siku ya jumamosi huduma zitatolewa kuanzia sa tatu asubuhi (0900HRS) mpaka sa tano usiku. Jumapili ni siku ya mapumziko.

​

Ubora na usiri wa huduma

​

ULY Clinic inazingatia miiko ya taaluma na ubora wa huduma inazotoa kwa wateja wote. Ifahamike kuwa taarifa zako ni siri, kati yako na daktari atakayekupa huduma na hazitatolewa kwa mtu yeyote bila idhini yako.

 

Kwa kujaza fomu iliyo chini ya maelezo haya unakubaliana na vigezo na mashariti yaliyo kwenye fomu hii na yale yaliyoandikwa kwa kubofya neno  "Vigezo na Mashariti"

Jina lako kamili

Mkoa ulipo

Namba ya simu uliyofanyia malipo

Nambari ya muamala wa malipo

Hongera, taarifa zako zimefika, wasiliana na ULY CLINIC kudhibitisha kufika kwa taarifa zako kupitia 'mawasiliano yetu' chini ya tovuti hii

Kuna makosa kwenye ujazaji wa fomu au kwenye mtandao. Tafadhali rudia tena 

bottom of page