top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Kutapika

Kutapika

Ni kitendo cha kutoa nje chakula au maji maji yaliyo jikusanya tumboni kupitia mdomo au wakati mwingine kupitia pua.

Kuongezeka uzito kwa kasi

Kuongezeka uzito kwa kasi

Kuongezeka kwa uzito kwa kasi kunaweza sababishwa na kuongezeka kwa misuli, maji au mafuta mwilini.

Smallpox

Smallpox

Dalili zake ni homa kali, uchovu, maumivu ya kichwa, na vipele vinavyogeuka kuwa vidonda vya usaha kabla ya kuacha makovu.

Kupoteza uwezo wa kuona

Kupoteza uwezo wa kuona

Kutoona au kuwa kipofu ni hali ya kupoteza uwezo wa kuona vizuri kutokana na sababu za kifiziolojia au zinazo husiana na mishipa ya neva.

Prostaitisi sugu

Prostaitisi sugu

Prostaitiz sugu ni michomo kwenye tezi dume inayotokana na shambulio la kinga kwenye vimelea walio kwenye tezi dume, shambulio hilo hudumu angalau kwa muda wa miezi mitatu na kuendelea.

bottom of page