Plaki
Plaki ni jeraha lililoinuka juu ya usawa wa ngozi lenye eneo kubwa zaidi ya urefu wake na mipaka yake imejitenga vema. Jeraha ya namna hii huonekana kwa wagonjwa wa soriasis.
Plaki ni jeraha lililoinuka juu ya usawa wa ngozi lenye eneo kubwa zaidi ya urefu wake na mipaka yake imejitenga vema. Jeraha ya namna hii huonekana kwa wagonjwa wa soriasis.