top of page
Uono wa shimoni
Mwandishi:
ULY CLINIC
20 Septemba 2021 12:36:22

Uono wa shimoni ni nini?
Uono wa shimoni ni upotevu wa uwezo wa macho kuona vitu vya pembeni na kusalia na uwezo wa kuona vitu vya kati tu.
Kupoteza uwezo wa kuona vitu vya pembeni hufanya mgonjwa awe na uono mithiri ya mtu anayechungulia upande wa pili kupitia matundu madogo mawili ya duara au kuchungulia kitu kupitia bomba refu lenye kipenyo kidogo.
Imeboreshwa,
6 Juni 2022 14:39:36
bottom of page