top of page

Nini husababisha ganzi

Updated: Nov 6, 2021


Mtu anapopata ganzi inamaanisha amepoteza hisia kwenye maeneo Fulani ya mwili, hili ni tatizo ambalo linaweza kuambatana na dalili zingine kama kuhisi kuchomwa na sindano au kuwaka moto kwenye maeneo yenye ganzi.


Ni nini husababisha ganzi?

Mara nyingi ganzi hutokea endapo kuna michomo au mgandamizo wa mshipa wa fahamu. Magonjwa aina Fulani kama kisukari huweza kuharibu mishipa mirefu ya fahamu mwilini kama inayopeleka hisia kwenye mikono na miguu na pia huweza kusababisha miguu kupata ganzi.


Baadhi ya hali na magonjwa yanayoweza kusababisha ganzi ni kisukari, upungufu wa vitamin B-12 n.k, Ukoma, Ugonjwa wa laimu, Maambukizi ya kirusi cha Herpes zoster

Ugonjwa wa Kaswende


Kusoma zaidi kuhusu visababishi vya ganzi bonyeza hapa.


Pakua app ya ULY CLINIC kusoma makala nzuri za kiafya na kupata tiba bonyeza hapa

Unaweza kutembelea kurasa yetu ya facebook bonyeza hapa

Usisahau kuwashirikisha watu uwapendao kupakua app ya ULY CLINIC

Karibu ULY CLINIC kwa tiba na ushauri.

53 views0 comments

Recent Posts

See All
bottom of page