top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Yurethraitisi

Yurethraitisi

Urethraitis hutokana na michomo kwenye mrija wa urethra kama matokeo ya shambulio la kinga ya mwili kwenye vimelea wa maradhi walio kwenye mrija huo haswa wale wanaosababisha magonjwa ya zinaa.

Iskemia ya ateri  mesenteriki

Iskemia ya ateri mesenteriki

Ni hali hatari inayosababisha maumivu makali ya tumbo, ukakamavu, na dalili za mshtuko kama mapigo ya moyo kwenda kasi na shinikizo la chini la damu. Inapaswa kushukiwa kwa wagonjwa wazee wenye historia ya magonjwa ya moyo.

Pyelonephritis ya ghafla

Pyelonephritis ya ghafla

Ni maambukizi ya figo yanayosababisha maumivu ya mgongo wa pembeni, tumbo la chini, na homa kali yenye baridi. Dalili zingine ni kichefuchefu, kutapika, na kukojoa mara kwa mara kwa dharura.

Kutomeng'enywa kwa chakula- Dyspepsia

Kutomeng'enywa kwa chakula- Dyspepsia

Dyspepsia ni hali ya kutomeng’enywa kwa chakula tumboni kinachopelekea hisia za tumbo kujaa gesi, kichefu chefu, kiungulia, kupotea kwa hamu ya kula maumivu ya tumbo ya kunyonga, na hisia za tumbo kujaa.

Kutanuka kwa ulimi

Kutanuka kwa ulimi

Kupanuka kwa ulimi au kuongezeka kwa ulimu kunaweza kusababisha ugumu katika kuongea, kula, kumeza na kulala.

bottom of page