top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

ULY Clinic inakushauri kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Kubeua

Kubeua

Ni njia ya kuondoa hewa iliyozidi kwenye mfumo wa juu wa umeng’enyaji wa chakula ambayo mara nyingi humezwa wakati wa kula au kunywa kwa haraka.

Dalili za awali za uchungu

Dalili za awali za uchungu

Huanza zenyewe na kutofautia kati ya mtu mmoja na mwingine, miongoni mwake ni maumivu ya mgongo, kubana kwa misuli ya tumbo, hisia za kujisaidia na kumwagika kwa maji ukeni.

Haja ngumu baada ya kujifungua

Haja ngumu baada ya kujifungua

Husababishwa na mabadiliko ya homoni na chakula wakati wa ujauzito. Kubadili mtindo wa maisha, matumizi ya vyakula vyenye nyuzinyuzi na maji kwa wingi hupunguza na kuzuia dalili hii.

Kuwashwa nywele

Kuwashwa nywele

Kuwashwa nywele ni dalili inayoweza kusababishwa na sababu za kawaida au zile zinazohusiana na magonjwa.

Maumivu ya Mkono

Maumivu ya Mkono

Hutokea kwenye eneo kati ya maungio ya kiganja cha mkono na bega ambayo huweza kutokea kama maumivu au uchungu, kuchoma au kutoboa yanayopelekea kuathiri utendaji kazi.

bottom of page