top of page

Kinga ya maambukizi ya kirusi cha corona | ULY CLINIC

Updated: Jun 29, 2020



Virusi vya corona vipo duniani kote, kuna aina saba (7) ya virusi ambavyo wanasayansi wanavifahamu kuwa vina athiri binadamu na kuwafanya waugue.


Baadhi ya virusi hawa waligunduliwa zamani sana na wengine wamegunduliwa hivi karibuni. Virussi vya corona kwa wanaweza sababisha homa kiasi au homa kali sana.


Wapo Virusi wawili waliojulikana hivi karibuni kusababisha binadamu kuugua mara kwa mara ambaao ni kirusi aina ya SARS-CoV na kirusi cha MERS-CoV.




Mambo ya kufanya kuzuia maambukizi ni pamoja na

  • Kunawa mikono mara kwa mara

  • Kufunika midomo na pua unapopiga chafya au kukohoa

  • Kupika vema mayai na nyama

  • Kutokaa karibu na mtu ambaye ana dalili za kuumwa kifua kama vile kukohoa na kupiga chafya

  • Kutosafiri kwenda sehemu zenye maambukizi hayo mpaka kuhakikisha usalama kwanza

Kusoma zaidi mada hii bonyeza hapa


Pakua app ya ULY CLINIC kusoma makala nzuri za kiafya na kupata tiba bonyeza hapa

Unaweza kutembelea kurasa yetu ya facebook bonyeza hapa

Usisahau kuwashirikisha watu uwapendao kupakua app ya ULY CLINIC

Karibu ULY CLINIC kwa tiba na ushauri.

26 views0 comments

Recent Posts

See All
bottom of page