top of page
Ugonjwa na dawa
Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa za wagonjwa waliofanyiwa dayalisis
Dawa za wagonjwa waliofanyiwa dayalysis (dialysis) au wanaofanyiwa dayalisis hutumika kukabiliana na magonjwa ya figo, upungufu unaotokana na kuchujwa kwa damu n.k dawa hizi utaandikiwa na daktari wako kulingana na ushauri wa kitaalamu ambao atakupatia daktari wako. Miongoni mwa dawa wanazopatiwa wagonjwa waliofanyiwa dayalisis ni;
bottom of page