top of page

Ugonjwa na dawa

Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa za kutoa mimba

Dawa za kutoa mimba

Kutoa mimba ni kitendo cha kukatisha maisha ya kijusi aliyepo tumboni, hii inaweza kufanyika kwa kutumia dawa au kutumia njia ya upasuaji mdogo au kusafisha kizazi.

Dawa ya kushusha phosphate kwenye damu kutokana na figo kufeli

Dawa ya kushusha phosphate kwenye damu kutokana na figo kufeli

Wagonjwa wa figo iliyofeli hupata tatizo la kuzidi kwa kiwango cha madini phosphate kwenye damu kutokana na figo kushindwa kuchuja na kutoa kwenye mkojo kiwango cha kutosha.

Dawa za kuimarisha mifupa kwa wagonjwa wa figo

Dawa za kuimarisha mifupa kwa wagonjwa wa figo

Dawa a kutibu udhaifu wa mifupa kutokana na figo kufeli ni dawa ambazo zinafanya mifupa iwe imara. Dawa hizo huwa na kiini hai cha vitamin D

Dawa za wagonjwa waliofanyiwa dayalisis

Dawa za wagonjwa waliofanyiwa dayalisis

Dawa za wagonjwa waliofanyiwa dayalysis (dialysis) au wanaofanyiwa dayalisis hutumika kukabiliana na magonjwa ya figo, upungufu unaotokana na kuchujwa kwa damu n.k dawa hizi utaandikiwa na daktari wako kulingana na ushauri wa kitaalamu ambao atakupatia daktari wako. Miongoni mwa dawa wanazopatiwa wagonjwa waliofanyiwa dayalisis ni;

Dawa ya kutibu figo zilizofeli

Dawa ya kutibu figo zilizofeli

Dawa za kutibu figo iliyofeli kufanya kazi ni dawa zinazotumika kupunguza dalili za figo kufeli, dawa hizi huwa haziondoi tatizo la figo kufeli. Ifahamike kuwa matibabu pekee kwa sasa ya figo kufeli ni kubadilishiwa figo au kufanyiwa dayalisis.

bottom of page