top of page

Ugonjwa na dawa

Kurasa hii utajifunza kuhusu dawa na ugonjwa unaotibiwa na dawa hiyo. Wasiliana na daktari wako kabla ya kutumia dawa yoyotee ile ili kuepuka madhara na usugu wa dawa mwilini mwako. Kumbuka siku zote kuwa dawa ni sumu kwenye mwili wako endapo haitatumika bila ushauri wa daktari

Dawa za kuzuia kutapika safarini

Dawa za kuzuia kutapika safarini

Dawa nyingi zilizoorodheshwa hapa zinatumika kwa watu wenye miaka 12 na zaidi na zina uwezo wa kutofautiana. Inashauriwa kutumia dawa nusu saa au saa limoja kabla ya safari kwa ufanisi zaidi na pia unaweza kurudia dozi nyingine baada ya masaa 8 hasi 12 ikitegemea aina ya dawa uliyotumia.

Dawa za machozi

Dawa za machozi

Dawa za machozi katika Makala hii imetumika kumaanisha dawa zinazotibu tatizo la macho makavu au macho yasitotoa machozi, kwa maana nyingine ni dawa za macho makavu.

Dawa ya allergy ya macho

Dawa ya allergy ya macho

Dawa ya aleji ya mcho au dawa za mzio, ni dawa zinazotumika kupunguza au kuondoa mwitikio wa macho kwenye viamsha mzio.

Dawa ya jipu ukeni

Dawa ya jipu ukeni

Jipu ukeni katika makala hii imetumika kumaanisha uvimbe maji au uvimbe wa usaha kwenye mirija ya batholin, soma zaidi kwa uelewa wa ziada kuhusu uvimbe wa batholin kwenye makala ya ‘jipu tundu la uke’ au ‘uvimbe wa batholin’.

Dawa ya minyoo

Dawa ya minyoo

Dawa zinazotumika kutibu minyoo hufanya kazi yake kwa kuzuia minyoo kupata chakula au kuwafanya wapooze na hivyo kufa. Dawa nyingi haziwezi kuua mayai ya minyoo yaliyopo mwilini.

bottom of page