top of page

Dozi ya dawa

Katika kurasa hii, utajifunza kuhusu dozi ya dawa mbalimbali kulingana na ugonjwa unaotibika na dawa husika. Dozi ya dawa katika kurasa hii imejumuisha dozi ya dawa kwa watoto na watu wazima. Siku zote tafuta msaada kutoka kwa mtaalamu wa afya kabla ya kutumia dawa yoyote kuepuka madhara.

Ili uweze kusoma zaidi kuhusu dawa, magonjwa inayotibu na dozi ya kutumia, jiunge kwanza na huduma kwa 'kubofya hapa'

Dozi ya keloidi

Dozi ya keloidi

Kuna aina mbili za matiabu ya keloid, matumizi ya dawa kwa keloidi ndogo na za wastani na dawa na upasuaji kwa keloid kubwa.

Dozi ya malaria kwa mjamzito

Dozi ya malaria kwa mjamzito

Matibabu ya malaria kwa mjamzito huwa tofauti kidogo na ya watu wengine kwasababu ya athari ya baadhi ya dawa kwa kijusi.

Dozi ya vidonda vya tumbo

Dozi ya vidonda vya tumbo

Vidonda vya tumbo ambavyo husabaishwa na sababu mbalimbali kama maambukizi ya bakteria H.pylori na madhaifu ya uzalishaji tindikali tumboni pasipo udhibiti, hutibiwa kwa dawa za kuzuia uzalishaji huo na kuua bakteria kisababishi.

Dozi ya UTI

Dozi ya UTI

U.T.I husababishwa sana na bakteria Escherichia coli,Klebsiella pneumonia, spishi za proteus na Staphylococcus aureus 

bottom of page