top of page

Tatizo la fangas ukeni​

​

Imeandikwa na madaktari wa uly clinic

​

​

Maambukizi ya candida ni kisababishi kikuu cha miwasho kwenye maeneo ya uke na kutoka kwa uchafu ukeni. Tatizo hili huambatana na michomo sehemu za siri inayosababishwa na maambukizi ya fangasi jamii ya candida. Michomo hii hudhihilishwa kwa kubadilika rangi maeneo hayo(kuwa mekundu) kuwashwa.

​

Katika sehemu hii tunazungumzia kuhusu dalili, kutambua tatizo na matibabu

​

Epidemiolojia

Tatizo hili huwa la pili katika kusababisha miwasho sehemu za siri baada ya maambukizi ya bakteria na hutokea sawa kwa wanawake kipindi ambaco wameshabalehe

​

Endelea kusoma kuhusu, Dalili, Vihatarishi, Uchunguzi, Matibabu

​

Pata tiba na dawa kutoka kwa daktari wa ULY CLINIC kwa kuwasiliana na namba za chini chini ya tovuti hii, huduma zitakufikia ulipo.

utangulizi
fangasi ukeni-uly linic
bottom of page