top of page

Homoni

Kurasa hii imeorodhesha homon mbalimbali zinazopatikana kwenye mwili wa binadamu

Glucagon like peptide-1 (GLP-1)

GLUCAGON LIKE PEPTIDE 1 (GLP-1)

Homoni ya glukagoni inayofayofanana na peptaidi (Glucagon like peptide 1) ni homoni inayozalishwa kwenye mfumo wa gastrointestino kufuatia mwitikio wa chakula kinacho ingia tumboni, hujulikana kwa jina jingine la incretin.

Erythropoietin

Erythropoietin

Erythropoietin (Erithropoietini) ni homoni inayozalishwa na figo kwa asilimia 90 na kwa kiasi kidogo sana huzalishwa na Ini, homoni hii huwa na kazi kuu ya kuchochea urojo wa mifupa(bone marrow) kuzalisha chembechembe nyekundu za damu.

Cholecystokinin

Kolesaitokainini

Kolesaitokainini (Cholecystokinin) (CCK) ni homoni ambayo Hujulikana kama pankriozaimini inayopatikana kwenye mfumo wa gastrointestino.

Calcitonin

Calcitonin

Kalsitonini (Calcitonin) ni homoni inayozalishwa na seli C za tezi ya thairoidi, Homoni hii huwa na kazi kuu ya kuthibiti kiasi cha madini ya Calcium na phosphate kwenye damu na kusimamisha utendaji wa homoni ya parathairoidi

bottom of page