top of page
Mwandishi:
Imeboreshwa:
ULY CLINIC
2 Februari 2026, 09:00:26
Agnosia
Ni neno tiba lenye jina la kiswahili la "Agnosia" au "Upungufu wa utambuzi wa hisia"
Kuna aina maalum za agnosia, ambazo hutumika kwa maneno yafuatayo;
Agnosia ya kusikia
Agnosia ya kuona
Agnosia ya mguso
AnosmiaÂ
Anosognosia
Agnosia husababishwa na vidonda (majeraha)vinavyoathiri maeneo ya ushirikiano kwenye Koteksi hisia ya parietali. Ni tatizo linaloweza kutokea baada ya mtu kupata kiharusi.
Imeandikwa:
25 Machi 2025, 10:44:32
bottom of page
