top of page
Mwandishi:
ULY CLINIC
24 Julai 2021, 13:12:32

Magonjwa ya kuambukiza
Magonjwa ya kuambukiza maana yake nini?
Magonjwa ya kuambukiza ni yale yanayosababishwa na vimelea wa aina mbalimbali na huenezwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu/watu wengine wenye vimelea kwa kugusa, kula au kunywa maji, kuvuta hewa, kujamiana n.k
Mfano wa magonjwa ya kuambukiza
Mfano wa magonjwa ya kuambukiza ni
Malaria
Kifua kikuu
UKIMWI
Kisonono
UVIKO 19 na mengineyo
Magonjwa ya kuambukiza kwa mlipuko
Magonjwa ya kuambukiza ya mlipuko yanatakiwa kutolewa taarifa haraka kwenye mamlaka inayohusika, mfano wake ni;
Kipindupindu
Homa ya dengue
Ebola
Rubella
Polio
Imeboreshwa,
6 Juni 2022, 14:48:55
bottom of page