top of page

Mwandishi:

ULY CLINIC

24 Julai 2021, 13:12:32

Magonjwa ya kuambukiza

Magonjwa ya kuambukiza

Magonjwa ya kuambukiza maana yake nini?


Magonjwa ya kuambukiza ni yale yanayosababishwa na vimelea wa aina mbalimbali na huenezwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu/watu wengine wenye vimelea kwa kugusa, kula au kunywa maji, kuvuta hewa, kujamiana n.k


Mfano wa magonjwa ya kuambukiza


Mfano wa magonjwa ya kuambukiza ni

  • Malaria

  • Kifua kikuu

  • UKIMWI

  • Kisonono

  • UVIKO 19 na mengineyo


Magonjwa ya kuambukiza kwa mlipuko


Magonjwa ya kuambukiza ya mlipuko yanatakiwa kutolewa taarifa haraka kwenye mamlaka inayohusika, mfano wake ni;


  • Kipindupindu

  • Homa ya dengue

  • Ebola

  • Rubella

  • Polio

Imeboreshwa,

6 Juni 2022, 14:48:55

bottom of page