top of page

Mwandishi:

Imeboreshwa:

ULY CLINIC

21 Septemba 2024, 15:10:54

Magonjwa ya mtafunokinga

Magonjwa ya mtafunokinga

Magonjwa ya mtafunokinga ni nini?


Ni magonjwa yatokanayo na shambulio binafsi la kinga ya mwili.


Shambulio binafsi hutokea endapo mwili unazalisha chembe ulinzi zinazoshambulia chembe zingine hai za mwili, mfano wa magonjwa ya shambulio binafsi ni baridi ya bisi. Mtafunokinga kwa jina jingine huitwa magongwa ya autoimyuni.

Imeandikwa:

14 Juni 2021, 21:02:56

bottom of page