top of page
Mwandishi:
Imeboreshwa:
ULY CLINIC
6 Juni 2022, 17:47:32

Magonjwa yasiyo ya kuambukiza
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza maana yake nini?
Magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni magonjwa yanayotokana na mabadiliko katika utendaji kazi wa kawaida wa mwili yanayosababishwa na mabadiliko au mtindo mbaya wa maisha. Magonjwa haya yanaweza kuzuilika endapo mtu atabadili mtindo wa maisha na kufuata kanuni za kiafya
Mfano wa magonjwa yasiyo ya kuambukiza ni shinikizo la juu la damu, kisukari, vidonda vya tumbo, saratani, obeziti n.k.
Imeandikwa:
24 Julai 2021, 16:20:39
bottom of page
