top of page

Manii

Mwandishi:

Dkt. Benjamin L, M.D

9 Julai 2023, 19:45:26

Manii

Manii ni chembe ya uzazi ya mwanaume ambayo huitwa kwa jina jingine kama gameti. Gameti huwa na maana nyingine ya chembe nusu. Gameti ya mwanaume ikiungana na ya mwanamke hutengeneza kijusi ambacho hukua ndani ya mji wa mimba kuwa binadamu.


Rejea
  1. Molecular Biology of the Cell. 4th edition.https://www.ncbi.nlm.nih.gov/books/NBK26914/#:. Imechukuliwa 09.07.2023

Imeboreshwa,

20 Julai 2023, 07:49:51

bottom of page