top of page

Mwandishi:

Imeboreshwa:

ULY CLINIC

6 Juni 2022, 18:21:48

Obeziti

Obeziti

Obeziti ni nini?


Ni ugonjwa wa mwili kuwa na uzito mkubwa kupita kiasi kutokana na mafuta mengi yaliyohifadhiwa kwenye ngozi.


Ugonjwa huu si kwamba unaleta mwonekano mbaya wa mwili,bali hupelekea hatari ya kupata magonjwa mbalimbali ya moyo na mishipa ya damu, homoni n.k.

Imeandikwa:

14 Juni 2021, 23:53:37

bottom of page