top of page

UKIMWI

Mwandishi:

ULY CLINIC

9 Julai 2021 17:16:56

UKIMWI

UKIMWI ni nini?


UKIMWI ni kifupisho cha jina la kitiba lililotokana na maneno Upungufu wa KInga MWilini. Upungufu wa kinga mwilini unaotumika kumaanisha UKIMWI ni ule unaosababishwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ( VVU)


Majina mengine


Majina mengine yanayotumika kumaanisha UKIMWI ni


  • HIV/AIDS

  • Maambukizi ya UKIMWI

  • Ugonjwa wa HIV

  • Ugonjwa wa VVU

Imeboreshwa,

6 Juni 2022 15:14:54

bottom of page