top of page

Zuia kupata Maambukizi ya Kirusi cha HPV ambacho husababisha saratani ya koo na shingo ya kizazi


Maambukizi ya kirusi cha HPV mara nyingi husababisha maoteo kwenye ngozi ya ndani na nje ya mwili


Baadhi ya aina fulani ya virusi vya HPV husababisha saratani hatari ikiwepo pamoja na saratani ya koo, njia ya haja kubwa, uume, uke na mashavu ya uke na shingo ya kizazi. Maambukizi haya yamekuwa yakihusiana na maambukizi ya virusi vya ukimwi.


Ikumbukwe kuwa kuna ina zaidi ya 100 ya virusi vya HPV vinavyofahamika duniani, licha ya kuwa na aina hizo nyingi baadhi yao huwa hawasababishi magonjwa na baadhi husababisha magonjwa mbali na saratani ikiwa pamoja na maoteo sehemu za siri, kweney kanyagio na kwenye viganja vya mikono, kuleta malengelenge kwenye ngozi n.k


Soma zaidi makala hii kwa kubonyeza hapa

Kusoma zaidi kuhusu maambukizi ya HPV na saratani zingine bonyeza hapa

81 views0 comments

Recent Posts

See All
bottom of page