top of page

Magonjwa na dawa zake

Updated: Nov 6, 2021

Makundi ya dawa kulingana na matumizi yake.


Yapo makundi aina kadhaa ya dawa, makundi hayo yameorodheshwa hapa kulingana na tatizo linalotibiwa na dawa hizo. Kumbuka kabla ya kutumia dawa yoyote ni vema ukawasilaina na daktari wako ili akupe maelekezo Zaidi ya dawa gani utumie kulingana na tatizo lako. Matumizi ya dawa pasipo ushauri wa daktari huweza kukutelea madhara makubwa mwilini pamoja na kifo. ULYCLINIC inakushauri ufuate ushauri kutoka kwa daktari wako kwa uchunguzi na ushauri kabla ya kutumia dawa yoyote ile.

Chagua kundi la dawa kuona ni dawa gani zilizopo kwenye kundi hilo;


Dawa Za Kuongeza Uchavushaji Wa Mayai Na Uzalishaji Wa Mbegu Za Kiume

Dawa Za Kusimamisha Uume Kwa Muda Mrefu

Dawa Za Kutibu Fangasi Wa kanyagio na maeneo katikati ya vidole vya miguu- Tinea pedis

Dawa za kutibu fangasi wa Kifuani na maeneo ya juu mgongoni

Dawa za kutibu Fangasi wa kwenye Kiwiliwili cha Mwili

Dawa za kutibu Fangasi wa maeneo ya siri na kinena

Dawa Za Kutibu Fangasi Wa viganja vya Miguu na Mikono

Dawa Za Kutibu Gauti na Maumivu yake

Dawa za Kutibu Kisukari

Dawa za kutibu Kuhara/Kuharisha

Dawa Za Kutibu- Kuondoa Kichefuchefu na Kutapika

Dawa Za Kutibu Maambukizi Kwenye Masikio


Soma makundi mengine zaidi kwa kubonyeza hapa


Pakua app ya ULY CLINIC kusoma makala nzuri za kiafya na kupata tiba bonyeza hapa

Unaweza kutembelea kurasa yetu ya facebook bonyeza hapa

Usisahau kuwashirikisha watu uwapendao kupakua app ya ULY CLINIC

Karibu ULY CLINIC kwa tiba na ushauri.

133 views0 comments

Recent Posts

See All
bottom of page