Magonjwa na dawa zake
Updated: Nov 6, 2021
Makundi ya dawa kulingana na matumizi yake.

Yapo makundi aina kadhaa ya dawa, makundi hayo yameorodheshwa hapa kulingana na tatizo linalotibiwa na dawa hizo. Kumbuka kabla ya kutumia dawa yoyote ni vema ukawasilaina na daktari wako ili akupe maelekezo Zaidi ya dawa gani utumie kulingana na tatizo lako. Matumizi ya dawa pasipo ushauri wa daktari huweza kukutelea madhara makubwa mwilini pamoja na kifo. ULYCLINIC inakushauri ufuate ushauri kutoka kwa daktari wako kwa uchunguzi na ushauri kabla ya kutumia dawa yoyote ile.
Chagua kundi la dawa kuona ni dawa gani zilizopo kwenye kundi hilo;
Dawa Za Kuongeza Uchavushaji Wa Mayai Na Uzalishaji Wa Mbegu Za Kiume
Dawa Za Kusimamisha Uume Kwa Muda Mrefu
Dawa Za Kutibu Fangasi Wa kanyagio na maeneo katikati ya vidole vya miguu- Tinea pedis
Dawa za kutibu fangasi wa Kifuani na maeneo ya juu mgongoni
Dawa za kutibu Fangasi wa kwenye Kiwiliwili cha Mwili
Dawa za kutibu Fangasi wa maeneo ya siri na kinena
Dawa Za Kutibu Fangasi Wa viganja vya Miguu na Mikono
Dawa Za Kutibu Gauti na Maumivu yake
Dawa za kutibu Kuhara/Kuharisha
Dawa Za Kutibu- Kuondoa Kichefuchefu na Kutapika
Dawa Za Kutibu Maambukizi Kwenye Masikio
Soma makundi mengine zaidi kwa kubonyeza hapa
Pakua app ya ULY CLINIC kusoma makala nzuri za kiafya na kupata tiba bonyeza hapa
Unaweza kutembelea kurasa yetu ya facebook bonyeza hapa
Usisahau kuwashirikisha watu uwapendao kupakua app ya ULY CLINIC
Karibu ULY CLINIC kwa tiba na ushauri.