top of page
Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:
ULY CLINIC
Dkt. Salome A, MD
19 Julai 2023, 20:43:21

Magonjwa yanaoathiri uke, humwathiri kichanga
Magonjwa yanayoathiri uke huweza kushambulia chupa ya uzazi na kupelekea mimba kutoka au kumpata kichanga wakati wa kujifungua. Tambua na pata tiba mapema ili kuukinga ujauzito wako na kichanga
ULY CLINIC inakushauri siku zote uwasiliane na daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile kiafya baada ya kusoma vidokezo hivi
Wasiliana na daktari wa ULY CLINIC kwa elimu na ushauri zaidi kupitia namba za simu au kubonyeza 'Pata Tiba' Chini ya tovuti hii.
Imeandikwa:
13 Januari 2021, 12:19:56
Rejea za mada hii:
bottom of page
