Mwandishi:
Mhariri:
Imeboreshwa:
WAMJW
ULY CLINIC
2 Aprili 2026, 16:07:21

Barakoa na kunawa mikono hukinga kirusi kipya cha COVID-19?
Ndio!
Kunawa mikono kwa maji tiririka na sabuni husaidia kujikinga dhidi ya magonjwa mbalimbali yanayoweza kuenea kupitia mikono michafu ikiwemo COVID-19. Pia uvaaji wa barakoa husaidia kujinga na kumkinga mwingine dhidi ya magonjwa yatokana na majimaji ya yatokayo mdomoni na puani (ikiwemo COVID-19) ili kuzuia majimaji hayo yasisambae kwa wengine au yasikufikie wewe pale wewe na mtu mwingine anapokohoa, kupiga chafya au kuongea. Hivyo unashauriwa kuhakikisha unafuata kanuni za afya ili kujikinga na haya magonjwa.
Imeandikwa:
2 Aprili 2026, 16:07:21
ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.
​
Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.
