top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

WAMJW

24 Agosti 2026, 03:43:22

Hakuna madhara ya chanjo ya Corona kwa mtoto atakayezaliwa na mama aliyechanjwa?

Tafiti zawali zinaonyesha kuwa viambata vilivyopo katika chanjo za COVID-19 hazina madhara kwamama mjamzito na mtoto atakayezaliwa.

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 19:07:23

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

Rejea za mada hii:

bottom of page