top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

WAMJW

2 Aprili 2026, 16:07:17

Makundi gani yanapewa kipaumbele kwenye chanjo ya COVID-19?

Makundi yaliyopewa kipaumbela ni pamoja na


  1. Wataalam wa Sekta ya Afya,

  2. Watu wenye umri wa miaka 50 na kuendelea na

  3. Wale wenye magonjwa sugu.


Hata hivyo kuanzia Agosti 12, 2021 Serikali iliruhusu chanjo za COVID-19 zitolewe kwa mtu yeyote mwenye miaka 18 na kuendelea atakayekuwa anahitaji chanjo kwa hiari yake.

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 16:07:17

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

Rejea za mada hii:

bottom of page