top of page

Mwandishi:

Mhariri:

Imeboreshwa:

ULY CLINIC

Dkt. Helen L, M.D

2 Aprili 2026, 16:17:50

Usimnyonyeshe mtoto anayepumua kwa shida

Kupumua haraka haraka kwa mtoto anayenyonya huweza pelekea maziwa kuingia njia ya hewa . Mtoto akipumua haraka haraka au kwa shida, mwache atulie kwanza ndipo umnyonyeshe. Endapo tatizo linaendelea muwahishe hospitali haraka kwa uchunguzi na matibabu.

Imeandikwa:

2 Aprili 2026, 16:17:50

ULY CLINIC inashauri usitegemee au kufuata ushauri wowote uliyoona kwenye makala hii bila kuwasiliana kwanza na daktari wako. Kabla ya kuchukua hatua yoyote ya matibabu, hakikisha umepata ushauri rasmi kutoka kwa daktari wako ili kuepuka madhara yoyote yanayoweza kutokea.

​

Makala hii ni ya kielimu tu na haitumiki kama mbadala wa matibabu ya daktari.

Rejea za mada hii:

bottom of page