top of page

Dalili na viashiria vya magonjwa mbalimbali

Unashauriwa kufuata ushauri wa daktari wako kabla ya kuchukua hatua yoyote ile baada ya kusoma makala. Bofya picha au neno soma zaidi ili kuingia kwenye makala kwa undani.

Pyelonephritis ya ghafla

Pyelonephritis ya ghafla

Ni maambukizi ya figo yanayosababisha maumivu ya mgongo wa pembeni, tumbo la chini, na homa kali yenye baridi. Dalili zingine ni kichefuchefu, kutapika, na kukojoa mara kwa mara kwa dharura.

Kutomeng'enywa kwa chakula- Dyspepsia

Kutomeng'enywa kwa chakula- Dyspepsia

Dyspepsia ni hali ya kutomeng’enywa kwa chakula tumboni kinachopelekea hisia za tumbo kujaa gesi, kichefu chefu, kiungulia, kupotea kwa hamu ya kula maumivu ya tumbo ya kunyonga, na hisia za tumbo kujaa.

Kutanuka kwa ulimi

Kutanuka kwa ulimi

Kupanuka kwa ulimi au kuongezeka kwa ulimu kunaweza kusababisha ugumu katika kuongea, kula, kumeza na kulala.

Nimonia

Nimonia

Nimonia inayosababishwa na bakteria husababisha matumizi makubwa ya misuli ya ziada kwa kupumua. Kawaida, maambukizi haya huanza ghafla na homa kali pamoja na baridi kali.

Kutokwa na malengelenge mwilini

Kutokwa na malengelenge mwilini

Kutokwa na malenge mwilini ni neno linalomaanisha kutokwa na upele kwenye ngozi ambao ukipasuka au kupasuliwa hutoa majimaji.

bottom of page