top of page

Huduma ya kwanza

Katika sehemu hii utajifunza kuhusu huduma ya kwanza kwenye matukio mbalimbali ili uweze kuwa msaada pale itakapohitajika kabla wataalamu wa afya hawajafika kwenye tukio

Tiba ya kukojoa kitandani

Tiba ya kukojoa kitandani

Ili kuacha kukojoa kitandani, matumizi ya dawa haitakiwi kuwa uchaguzi wa kwanza, njia asili za kuufunza ubongo wa mtoto au mtu mzima zinatakiwa kutumika ili kuleta majibu mzuri na yanayodumu. Makala hii imezungumzia tiba isiyo dawa ya kukojoa kitandani.

Kuishi maisha bora na ualbino

Kuishi maisha bora na ualbino

Tatizo la u albino huambatana na madhaifu kwenye ngozi na macho. Mtu mwenye u albino anaweza kupata matibabu ya mazingira kwa ajiri ya kupunguza au kuepuka madhara yanayoweza kutokea. kama yaliyoorodheshwa hapa chini.

Chakula cha tezi dume

Chakula cha tezi dume

Tezi dume kwa jina la kitiba Prostate ni miongoni mwa tezi muhimu katika mfumo wa uzazi wa mwanaume, tezi dume iko chini kidogo ya kibofu cha mkojo. Mrija wa yurethra umepita katikati ya tezi hii.

Kifua kubana kwa mtoto: Huduma ya kwanza

Kifua kubana kwa mtoto: Huduma ya kwanza

Kifua kubana kwa mtoto kinaweza kusababishwa na kubana kwa njia za hewa kama kwenye pumu au bronkiolaitisi, au kutokana na matatizo ya moyo yanayosababisha upumuaji mgumu. Wazazi wanapaswa kutoa huduma ya kwanza kama kumketisha wima na kuhakikisha anapata hewa ya kutosha huku wakimkimbiza hospitali mara moja ili kubaini chanzo sahihi na kuanza matibabu haraka.

Huduma ya kwanza- Mtu mwenye maumivu ya chembe ya moyo

Huduma ya kwanza- Mtu mwenye maumivu ya chembe ya moyo

Huduma ya kwanza kwa maumivu ya chembe ya moyo ni kumpumzisha mgonjwa, kumpa maji kidogo, na kuepuka kumpa chakula kizito au dawa za maumivu. Ikiwa maumivu ni makali au yanaambatana na dalili hatarishi, mpeleke hospitali mara moja.

bottom of page