Upele ni uvimbe mdogo, mgumu, usio na maji, ulioinuka juu ya ngozi, na ni mojawapo ya alama muhimu katika uchunguzi wa magonjwa ya ngozi. Upele hufahamika kwa majina mengine kama vipele, mapele, kipele, uvimbe chini ya sentimita 1 juu ya usawa wa ngozi n.k.