top of page

Kamusi Tiba ya ULY CLINIC

Damuzikatiti

Damusikatiti

Ni neno linalotumika kumaanisha kuwa na kiwango cha chini cha sukari kwenye damu chini ya mmol 4.0 kwa lita moja ya damu.

Damusuziada

Damusuziada

Damusuziada ni neno linalotumika kumaanisha kuwa na kiwango cha glukosi cha ziada au kikubwa kuliko kawaida kwenye damu.

Dark spots in vision

Dark spots in vision ni nini?

Dawa ni nini?

Dawa

Dawa ni nini?

Maana ya dawa

Dawa

Nii kiini cha kemikali kinachotumika katika matibabu, kuponya, kuzuia au kutambua ugonjwa au kutumika kuimarisha mwili au na afya ya akili.

bottom of page