top of page
Kamusi Tiba ya ULY CLINIC
Mkusanyiko wa maji kwenye tishu
Ni hali ambapo majimaji mengi yanakusanyika ndani ya tishu za mwili, hasa kwenye nafasi iliyopo kati ya seli. Hali hii kitaalamu huitwa idima. Hali hii inaweza kutokea sehemu moja ya mwili, kama miguu, vifundo vya miguu au mikono, au inaweza kuenea sehemu mbalimbali za mwili.
bottom of page

