top of page
Kamusi Tiba ya ULY CLINIC
Sayanosisi ya kati
Ni hali ambapo midomo, ulimi na wakati mwingine ngozi hubadilika kuwa ya bluu, zambarau au kijivu kutokana na kupungua kwa kiwango cha oksijeni kwenye damu inayosambazwa kwenda kwenye mwili. Hii hutofautiana na sayanosisi ya pembeni, ambayo huonekana zaidi kwenye vidole vya mikono na miguu.
bottom of page

