top of page

Namna ya kuishi maisha bora na ugonjwa wa kisukari

Kuhusu mwandishi

Kuhusu mwandishi

Mwandishi wa kitabu hiki ni Daktari wa wagonjwa ya binadamu, amekuwa akihudumia wagonjwa wa kisukari na kukutana nao wakiwa kwenye hatua mbalimbali za ugonjwa. Pia amekuwa akifanya tafiti ili kujua kuhusu kwanini watanzania wenye kisukari wanapata madhara yanayojulikana kutokea kwa upesi zaidi ukilinganisha mataifa mengine

Historia ya kisukari

Historia ya kisukari

Kisukari ni moja kati ya magonjwa ya kwanza kabisa kutambuliwa na kuandikwa kwenye maandishi miaka 1500KK huko misri kikielezewa kuwa ni tatizo la “kukojoa sana” wataalamu wa magonjwa tiba wa kihindi kwenye miaka hiyo hiyo walielezea tatizo hili kuwa ni “Mkojo wa asali’

Aina za kisukari

Aina za kisukari

Licha ya kuwa na kisukari cha maji, kuna aina zingine mbili za kisukari cha kupanda ambazo ni kisukari aina ya 1 na 2. Kisukari aina ya 2 huhusianishwa sana na umri pamoja na mtindo mbaya wa maisha.

bottom of page